NEWS

14 Desemba 2018

Rais Kagame Azishutumu Nchi Wanachama wa Afrika Mashariki Kwa Kuihujumu Nchi yake


Rais huyo wa Rwanda amesema baadhi ya nchi za Afrika Mashariki zinashiriki katika vitendo vya kuhujumu usalama wa taifa lake

Asema zinatekeleza mauaji dhidi ya raia wa Rwanda(Wanyarwanda) wanaotembelea katika nchi hizo