NEWS

24 Novemba 2019

Kwanini Mtoto wa Kiume ni Rahisi Kusahau Nyumbani Kuliko wa Kike?

Habari wapendwa, poleni na majukumu.

Naomba kuuliza ni kwanini baadhi ya watoto wa kiume wakishaondoka nyumbani kwa kuwa na familia yake au kuishi peke yake, huwa inakuwa vigumu kukumbuka nyumbani ukilinganisha na watoto wengi wa kike ambao mara nyingi hukumbuka nyumbani?

Toa Maoni yako