NEWS

13 Januari 2020

Huyu Ndio KIDUME Aliyechukua Nafasi ya Diamond Platnumz Kwa Zari Hassan

Kwa muda sasa mitandaoni wanadai Zari na jamaa huyo wa S.Afrika kwa jina la Cedric(29) ni wapenzi ingawa wahusika wamepiga kimya -

Cedric ni muigizaji na mfanyabiashara wa S.Afrika ambaye ni baba wa mtoto mmoja.