NEWS

2 Februari 2020

PICHA: Uwanja wa majengo, Moshi unavyoonekana baada ya ibada ya jana iliyoongozwa na Mtume Boniface Mwamposa Na Kuua Watu 20

Uwanja wa majengo, Moshi unavyoonekana baada ya ibada ya jana iliyoongozwa na Mtume Boniface Mwamposa kugeuka vilio baada ya watu 20 kufariki dunia walipo kanyagana wakipita kwenye ‘mafuta ya upako’.