NEWS

7 Septemba 2020

PICHA: Mgombea wa Urais kupitia Tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM, Dr Magufuli Alivyowasili katika Uwanja wa CCM Kirumba

Mgombea wa Urais kupitia Tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM, Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwasili katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza kwa ajili ya kuwahutubia Wananchi wa Mwanza katika Mikutano ya Kampeni ya Chama cha Mapinduzi CCM leo tarehe 7 Septemba, 2020