NEWS

24 Desemba 2020

Rais Dkt. Magufuli Amuapisha Jaji Sivangilwa Sikalaliwa Mwangesi Kuwa Kamishna Wa Maadili

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Jaji Sivangilwa Sikalailwa Mwangesi kuwa Kamishna wa Maadili katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu Chamwino asubuhi leo Disemb a 24, 2020