NEWS

14 Aprili 2021

PICHA: Rais Samia Suluhu Hassan Akutana Na Kufanya Mazungumzo Na Makamu Wa Rais Philip Isdor Mpango Jijini Dodoma

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiwa katika mazungumzo na Makamu wa Rais Mheshimiwa Philip Isdor Mpango Ofisini kwake Jijini Dodoma leo tarehe 14 Aprili, 2021.