Tangu hapo Wema amekuwa haoni aibu kuonesha mapenzi yake kwa Diamond ikiwa ni pamoja na kupromote show ya Diamond ya Christmas.
Kwenye show hiyo ya jana ndipo mambo yalipowekwa wazi zaidi ambapo Wema alikuwa mmoja wa watu waliopanda kwenye stage na kuongea na watoto waliokuwa wakishuhudia show.
Diamond na Wema wakicheza na kuimba pamoja
Katika hatua nyingine baada ya show hiyo, Diamond alichukua private jet na kuelekea Mwanza kwenye show nyingine ya Christmas. Bahati mbaya hakwenda na Wema.
Wema akiwa jukwaani kuongea na watoto kwenye show ya Diamond siku ya Christmas
Kwa mujibu wa MillardAyo.com, Diamond alisikika akiuliz: Mnataka kumjua mchumba wangu”? Baadaye wakati akitaka kuimba wimbo wake ‘Ukimwona’, hitmaker huyo aliuliza tena: Naskia ninayetaka kumuimbia wimbo huu yupo humuhumu ndani,” na ndipo Wema Sepetu akapanda kwenye stage wakaimba na kucheza wote.
Kwa mujibu wa MillardAyo.com, Diamond alisikika akiuliz: Mnataka kumjua mchumba wangu”? Baadaye wakati akitaka kuimba wimbo wake ‘Ukimwona’, hitmaker huyo aliuliza tena: Naskia ninayetaka kumuimbia wimbo huu yupo humuhumu ndani,” na ndipo Wema Sepetu akapanda kwenye stage wakaimba na kucheza wote.
Image Milladayo.com