Beki wa Man City, Martin Demichelis akimchezea Messi rafu iliyopelekea penalti na kadi nyekundu.
Mabao ya Barcelona yamewekwa kimiani na Lionel Messi kwa mkwaju wa penalti dakika ya 54 baada ya kuangushwa eneo la hatari na beki wa Man City, Martin Demichelis aliyepewa kadi nyekundu.
Bao la pili limefungwa na Dani Alves dakika ya 90 ya mchezo na kuipa ushindi wa bao 2 Barcelona.
Mabao ya Barcelona yamewekwa kimiani na Lionel Messi kwa mkwaju wa penalti dakika ya 54 baada ya kuangushwa eneo la hatari na beki wa Man City, Martin Demichelis aliyepewa kadi nyekundu.
Bao la pili limefungwa na Dani Alves dakika ya 90 ya mchezo na kuipa ushindi wa bao 2 Barcelona.
Martin Demichelis akizawadiwa kadi nyekundu.



