Cheek ujumbe aliombatanisha Pipi katika post yake ya instagram
Kupitia ukurasa wake wa Instagram na Facebook February 2 2014 pipi amepost picha ya mtoto huyo ikiwa na ujumbe huu katika picha: Nina furaha mpaka sijui nisemeje maana naweza nikaandika essay hapa lakini kwa ufupi tu…namshukuru mungu kwa kunipa nguvu…uhai…na mume wangu kipenzi kwa kunipa ujasiri wa kuleta jembe la pili…Asset kubwa kuliko zote duniani asikwambie mtu!!! Welcome to the family baby Brandon !!
