Yule hiti maker wa Uzuri wako Jux Vutton, ameshare picha kupitia mtandao wa instagram inayoashiria yu mbioni kuachia nyimbo mpya.
Kwa wale mashabiki wa jux Vutton kaeni mkao wa kula kwani Nitasubiri ndicho kitu kinachofuata kutoka kwa Jux
Picha aliyoshare jux kupitia mtandao wa Instagram..!
Jux Ameshare picha hiyo hapo juu na kuandika maneno haya "Two days to go #nitasubiri"
3 Machi 2014
Picha: Jux kuachia wimbo mpya " Nitasubiri"
Tags
# Editor Pic Choice
# Jux Vuitton
About Mrs News Tanzania
Jux Vuitton
Category:
Editor Pic Choice,
Jux Vuitton