
Kwa mujibu wa orodha iliyotolewa na Goal.com, Ronaldo ana utajiri wenye thamani ya £122 Million na anafuatiwa na Messi mwenye utajiri wa £120.5 Million.
Ronaldo anachukua taji la David Beckham alilolivaa mwaka jana ambapo alipotajwa kuwa mcheza mpira tajiri zaidi kwa mwaka 2013.
Hii ni orodha ya wachezaji kumi matajiri zaidi duniani kwa mwaka 2014.
1. Cristiano Ronaldo, Real Madrid €148m (£122m)
2. Lionel Messi, Barcelona €146m (£120.5m)
3. Samuel Eto’o, Chelsea €85m (£70m)
4. Wayne Rooney, Manchester United €84m (£69m)
5. Kaka, AC Milan €82m (£67.5m)
6. Neymar & family, Barcelona €80m (£66m)
7. Ronaldinho, Atletico Mineiro €78m (£64m)
8. Zlatan Ibrahimovic, Paris St-Germain €69m (£57m)
9. Gianluigi Buffon, Juventus €63m (£52m)
10. Thierry Henry, New York Red Bulls €57m (£47m)