Yule producer mkongwe wa wa Muziki wa Bongo na aliyesaidia kwa kiasi kikubwa kuufikisha muziki huu wa Bongo mahala ulipo P-Funk a.k.a Majani amefunga pingu za maisha na mrembo aitwaye Hidaya katika harusi iliyofanyika jijini Arusha.
20 Aprili 2014
Producer P -Funk a.k.a Majani aoa Arusha
Tags
# Habari za Mastaa
# P-Funk
About Mrs News Tanzania
P-Funk
Category:
Habari za Mastaa,
P-Funk