Awali Ms Banda alisema uchaguzi huo ulikuwa umekumbwa na udanganyifu, watu kupiga kura mara mbili na computer-hacking. Amesema kura mpya zitapigwa ndani ya siku 90 lakini yeye hatogombea tena. Jana jioni tume ya uchaguzi ya Malawi, (MEC) alisema mpinzani wake Peter Mutharika alikuwa amepata asilimia 42%, baada ya 30% kuhesabiwa.
Joyce Banda alikuwa na 23%.
