NEWS

Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Social. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Social. Onyesha machapisho yote

9 Septemba 2014

Ni ugaidi asilimia 100 , kwa waliyofanyiwa askari hawa

08:53
TUKIO la kutisha la kushambuliwa kwa Kituo cha Polisi cha Wilaya ya Bukombe mkoani Geita, ambapo askari wawili walipoteza maisha na silaha ...
Read More

10 Agosti 2014

Hii ndio stori mpya kuhusu daraja la Kigamboni na kivuko kipya.

09:34
Waziri wa Ujenzi John Magufuli amesema Serikali inatarajia kuongeza kivuko kingine cha kuvusha watu Kigamboni ambacho kitagharimu shilingi b...
Read More

20 Juni 2014

Uganda yawekewa vikwazo na Marekani baada ya kupitisha sheria ya kupinga ushoga

12:08
Baada ya Uganda kupitisha sheria ya kupinga mapenzi ya jinsia moja mwezi Ferbruari mwaka huu, serikali ya Marekani imeiwekea vikwazo nchi hi...
Read More

19 Juni 2014

Wakenya waanzisha kampeni kushinikiza wanajeshi wao kutoka Somalia #BringBackOurSoldiers

14:19
Mashambulizi mawili ya Mpeketoni yalisababisha vifo vya watu 60 na kuacha vuta n’kuvute nchini Kenya baada ya Al Shabab kudai kuhusika moja ...
Read More

Migogoro ya ardhi kushughulikiwa na mahakama

07:58
Tume ya kurekebisha sheria nchini Tanzania, imekabidhi serikalini mapendekezo ya marekebisho ya sheria iliyounda mabaraza ya ardhi ya wilaya...
Read More

18 Juni 2014

Walioshambulia Kenya si Al Shabaab, 'Uhuru Kenyatta'

07:25
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta amesema mashambullio yaliyotokea katika mji wa Mpeketoni, Pwani ya Kenya hayakufanywa na kundi la wapiganaji w...
Read More

17 Juni 2014

Homa ya dengue yaanza kupungua

17:11
Serikali ya Tanzania imesema ugonjwa wa dengue umeonekana kuanza kupungua katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania kutokana na wananchi kuch...
Read More

Alshabab waua watu 10 kenya, ni baada ya kushambulia tena

16:17
Siku moja baada ya eneo la Mpeketu karibu na Lamu kushambuliwa na wanamgambo wa Al Shabab na kuua watu takribani 50, kundi hilo limefanya sh...
Read More

14 Juni 2014

Vyuo vitoe kozi zinazokidhi soko la ajira

11:38
Vyuo vya Elimu ya Juu nchini vimetakiwa kubuni mitaala itakayowezesha kuwandaa vijana kuwa na utaalamu unaohitajika katika soko la ajira, ku...
Read More

9 Juni 2014

7 Juni 2014

Dawa za kichina Nomaa, zaleta balaa soma hapa

17:57
Kwa Mnao Kuza Makalio Kwa Dawa za Kichina na Kienyeji hii Inawahusu . Kwa wale wadada wanaotumia dawa za uongeza makalio ziwe za Kichina ama...
Read More

6 Juni 2014

Alichosema Mhe. Komba baada ya picha kusambaa akiwa na binti chumbani.

23:25
Baada ya kusambaa kwa picha ambazo si nzuri katika mazingira ya kawaida zikimuonyesha Mhe. Kaptein Komba akiwa amepiga picha na msichana chu...
Read More

26 Mei 2014

Je , hili alilolifanya Obama, Kikwete anaweza kudhubutu?

23:59
Hivi karibuni Raisi mwenye guvu zaidi duniani na maadui wengi kuliko maraisi wote Barack Obama  aliamua kutembea mtaani kama raia wa kawaida...
Read More

25 Mei 2014

Hii ndio Idadi ya Wanawake wanaoendesha Ndege, Treni, Malori na Mabasi Tanzania

09:37
Ni mara chache sana tunapata takwimu kama hizi kutoka kwenye ngazi ya juu ya serikali ya Tanzania ndio maana hii stori imekua kubwa baada ya...
Read More

Rais Joyce Banda aufuta uchaguzi wa Malawi, utafanyika tena ndani ya siku 90!

08:16
Rais wa Malawi, Joyce Banda amesema anaufuta uchaguzi mkuu uliofanyika wiki hii nchini humo ambao naye alikuwa anagombea kwa kile alichokise...
Read More

17 Mei 2014

Mama maria Nyerere atoa tahadhari ya Vita

08:43
Mke wa hayati mwalimu Julias Nyerere, mama Maria Nyerere amewaasa vijana nchini kutojiingiza katika malumbano yasiyokuwa na tija kiasi cha k...
Read More

1 Mei 2014

EAC kuimarisha vita dhidi ya ugaidi

08:34
Jumuiya ya Afrika Mashari imesema itahakikisha inapambana na vita dhidi ya ugaidi katika nchi wananchama wa jumuiya hiyo. Mwenyekiti wa Jumu...
Read More

18 Aprili 2014

Kuwatukana waasisi wa Tanzania Ni ukosefu wa adabu 'Kikwete'

02:42
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa ni utovu wa nidhamu na ukosefu wa adabu kwa baadhi ya...
Read More

16 Aprili 2014

Abiria Walionusurika Katika Ajali Ya Meli Ya Korea Kusini Wasimulia Ajali Ilivyotokea

19:11
Watu walionusurika wamekuwa wakielezea hali ilivyokuwa ya kutisha ndani ya meli ya Korea Kusini ilipoanza kusimama kwa kuyumba, akiegemea up...
Read More

15 Aprili 2014

Miji 14 duniani yenye foleni kubwa zaidi za magari Dunaini

10:39
Kwa wakazi waishio  jiji la Dar es Salaam, katika siku hizi mbili  mpaka tatu watakuwa wanashuhudia foleni ya kufa mtu iliyosababishwa na mv...
Read More