Maandalizi ya nyamachoma na vyakula kwa ajili ya mashabiki watakaoingia uwanjani
Bia za Kilimanjaro zikishushwa katika eneo la Bar
AY na DJ Mafuvu wakifanya mazoezi ya sauti
Sam Misago wa EATV akimpiga picha Mwana FA wakati akifanya mazoezi
Izzo Bizness akifanya mazoezi jukwaani
Snura na Sam Misago
Profesa Jay katika interview Ebony FM
Mwasiti akieleza alivyojipanga na show
Snura, Rich Mavoko, Izzo Bizness na Nikki wa Pili wakisubiri kufanyiwa mahojiano Ebony FM
Sam Misago na Eddo Mnyama ndani ya Ebony FM