NEWS

7 Juni 2017

Katuni Aliyochorwa RC Anna Mghwira, Baada ya Kuapishwa

Rais John Magufuli akimuapisha Bibi Anna Elisha Mghwira kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, akijaza nafasi iliyoachwa wazi na Bw. Saidi Meck Sadiki aliyekuwa Mkuu wa Mkoa huo.