Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST), Profesa Abdukarim Mruma (kushoto) akiwa katika mazungumzo na Mkemia Mkuu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano Tanzania Profesa Samwel Manyele wa pili kushoto aliyeambatana na timu yake kutoka ofisi ya Mkemia Mkuu, alipotembelewa ofisini kwake kwa lengo la kubadilishana mawazo ya utendaji kazi. Picha na Samwel Mtuwa - Dodoma.