Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu akisalimiana na Mbunge wa Jimbo la Serengeti Mhe. Marwa Ryoba Chacha wakati wa ziara yake katika wilaya ya Serengeti, Mbunge huyo alimwambia Makamu wa Rais kuwa jimboni kwake wanafanya kazi kwa kushirikiana na Serikali bila kujali itikadi za vyama.