39′ Marcel anapiga kona mbovu ambayo inaokolewa na beki ya Yanga
19′ Faulo inapihwa na Ajibu kuelekea Majimaji, kushoto wa Uwanja, anapiga lakini kipa anaipangua na kuwa kona
15′ Bonaventure analisakama lango la Yanga lakini mwamuzi wa pembeni anasema ni offside
14′ Majimaji wanafanya shambulio lakini umahiri wa Youthe Rostand anadaka mpira
13′ Faulo inapigwa tena kuelekea Majimaji baada ya faulo
9′ Ibrahim Ajibu anafanya kazi safi kwa kupiga krosi langoni mwa Majimaji lakini mabeki wanaokoa
6′ Hassan Kessy anachezewa mazambi, na faulo inachezwa tena kuelekea Majimaji FC
5′ Buswita anachezewa faulo, mpira unapigwa kuelekea lango la Majimaji
The post LIVE UPDATES: MAJIMAJI 0-1 YANGA KUTOKA MAJIMAJI STADIUM, KOMBE LA SHIRIKISHO appeared first on Global Publishers.