NEWS

28 Februari 2018

Wafuasi 3 wa Chadema waliojeruhiwa Kwa Risasi Wafikishwa Mahakamani

Aida Olomi aliyejeruhiwa.

Wafuasi 3 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) waliojeruhiwa kwa risasi wakati Polisi wakitawanya waandamanaji Kinondoni wafikishwa Mahakamani

Makada hao ni Aida Olomi, Issack lomanus Ngaga na Erick John waliokuwa wakishikiliwa katika kituo cha Polisi Oyster bay

Wafuasi hao wa CHADEMA walijeruhiwa siku moja na aliyekuwa Mwanafunzi wa Chuo cha Usafirishaji cha Taifa(NIT), Akwilina Akwilin ambaye aliuawa katika tukio hilo

The post Wafuasi 3 wa Chadema waliojeruhiwa Kwa Risasi Wafikishwa Mahakamani appeared first on Global Publishers.