NEWS

17 Agosti 2018

Nahisi Mpenzi wa Kinyamwezi Kanifunga, Kila Nikitongoza Mwanamke Mwingine Nakataliwa

Ndugu zangu aisee nimekamatika najuta kukatongoza katoto ka kinyamwezi. Yapata mwaka mmoja tangu niwe kwenye mahusiano na huyu mtoto wa kinyamwezi. Nimekutana nae college namaliza mwaka wa tatu clinical officer na yeye anaanza kusoma Medical Doctor.

Mimi najikuta nataka nimpotezee lakini kila nikitongoza naambiwa ninae mtu, wewe ni muongo na neno linaloniumiza zaidi la "wewe unaye mtu." na cha ajabu hawajui chochote kuhusu mimi wala kama nina mtu

Na mtoto kaniganda mara anasema nikimaliza tu chuo unanioa. Aisee sijui nifanyeje kila nikitongoza nakataliwa na haikuwa kawaida yangu, kwa wiki nilikuwa nakula wanawake Wanne... Mpaka leo nimetimiza idadi ya wadada kumi wakichaga wananikataa. toka niwe naye

Naomba ushauri please