Kupitia ukrasa wake wa twitter idris aliandika ujumbe mzito ambao ulikua na maana kubwa na kusema hivi
Nieleweke vyovyote mtakavyoniamua ila Mv Nyerere imezama kwa mipango ya mungu ila wengi wamekufa kwa mipango yetu
Ajari ya Mv nyerere ilitokea jana mchana huku chanzo kamili cha ajali hiyo akijatolewa rasmi ila kwa taarifa za awali zinadai kuwa kivuko hicho kilibeba abiria wengi ambao inasemekana ni watu 400 na kilikuwa kinakaribia kutia nanga na kubaki umbali wa mita mia mbili hivyo idadi kubwa ya watu walikuwa wanasogea mbele ili kuwahi kushuka ndipo kivuko hicho kikazidiwa upande mmoja na kupinduka.