IKIWA ni siku chache baada ya picha zao kusambaa wakiwa wamegandana, mrembo mmoja jijini Mwanza, Khadija Ziota amefunguka na kukiri kuwa yupo kwenye uhusiano wa kimapenzi na msanii wa Bongo Fleva, Godfrey Tumaini maarufu kama Dudu Baya au Konki Master.
The post EXCLUSIVE: Mrembo Afunguka, ‘Mimi Ndo Mrs Konki Master’ – Video appeared first on Global Publishers.