NEWS

28 Novemba 2019

Elizabeth Michael (Lulu) Abeba Ujauzito wa Majizzo


Mwigizaji wa Filamu Nchini Tanzania Elizebert Michael ambaye pia ni maarufu kwa jina la Lulu hatimaye ni mjamzito na hivi karibuni atajifungua mtoto wake wa kwanza.

Lulu ametumia ukurasa wake wa Instagram kupost picha hiyo kitu ambacho kila mtu amempongeza kwa hatua hiyo.

Hata hivyo baadhi ya watu wanapenda kujua Baba wa Mtoto atakaye zaliwa ila kwa habari kutoka kwa watu wa karibu Baba wa Mtoto ajaye ni Majizo ambaye ni Mkurugenzi wa EFM Radio na TV

Mwaka jana 2018 Mwezi wa 9 Tarehe 30 Fransic Siza ambaye ndio Majizo aliamua kumvisha Lulu pete ya Uchumba hii ni baada ya Lulu kumaliza kifungo chake Gerezani cha kumuua Steven Kanumba bila ya kukusudia.