NEWS

28 Septemba 2020

Shilole Atoa Mpya "Adai Kurudiana na Uchebe Labda Awe Maiti"


Mwanadada @officialshilole Afunguka Kwamba Hawezi Rudiana Na Uchebe Ambaye Wametalakiana Miezi Michache Nyuma. Shilole Kafunguka Hayo Kwa Kumjibu Shabiki Aliyecomment Akimuasa Shishi Kutorudiana Na Uchebe, Shishi Alijibu Kwa Kuandika Labda Niwe Maiti


Ujumbe Huo Umezidi Kuashiria Kwamba Wawili Hao Hawana Mpango Wa Kurudiana Kabisa Baada Ya Kuendelea Kutupiana Maneno Ya Hapa Na Pale