NEWS

24 Septemba 2018

BREAKING: SHAFFIH DAUDA AACHIWA KWA DHAMANA KISUTU

MTANGAZAJI wa Clouds Media, Shaffih Dauda na mwenzake Ben Ali wanaotuhumiwa kumiliki na kuendesha Blog ya dauda.com bila kuwa na kibali cha Mamlaka ya Mawasiliano #Tanzania (TCRA), wameachiwa kwa dhamana na Mahakama ya Mkazi Kisutu leo Septrmba 24, 2018.

The post BREAKING: SHAFFIH DAUDA AACHIWA KWA DHAMANA KISUTU appeared first on Global Publishers.