NEWS

5 Septemba 2018

Wabunge walia na mishahara ya Suma JKT, wataka ipandishwe

Serikali imekiri kuwa mishahara wanayolipwa vijana wanaofanya kazi kampuni ya Suma JKT ni midogo na haikidhi mahitaji. 

Waziri wa Ulinzi, Dkt. Hussein Mwinyi amesema mazungumzo yanafanywa na uongozi wa kampuni hiyo ili kuboresha viwango.

==>.Sikiliza hapo chni