NEWS

18 Novemba 2019

Huu ndio muonekano wa uwanja wa ndege wa kisasa wa Mwanza


Ujenzi wa jengo hilo la kisasa umeanza Septemba mwaka huu na litagharimu takribani shilingi bilioni 12.

Gharama za ujenzi ni kodi za wananchi kupitia mapato ya Jiji la Mwanza, Manispaa ya Ilemelea na Serikali Kuu.