NEWS

18 Novemba 2019

PICHA: Muonekano wa Jengo la kisasa la abiria katika Uwanja wa Ndege jijini Mwanza mara tu ujenzi wake utakapokamilika.

Ujenzi wa jengo hilo la kisasa umeanza Septemba mwaka huu na litagharimu takribani shilingi bilioni 12.

Gharama za ujenzi ni kodi za wananchi kupitia mapato ya Jiji la Mwanza, Manispaa ya Ilemelea na Serikali Kuu.