Pia amesema, "CUF tunawaomba Watanzania wote wapenda haki kuungana na sisi katika ibada Alhamisi, ambapo tutafunga kwa kutokula mchana na tufanye dua kila mmoja kwa imani yake kuomba hukumu ya #Haki kutokana na kile kilichofanyika"
2 Novemba 2020
Home
siasa
CUF Yatangaza Kutoshiriki Uchaguzi Mkuu Wowote Mpaka Tume Huru ya Uchaguzi Itakapopatikana