NEWS

Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Breaking News. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Breaking News. Onyesha machapisho yote

19 Septemba 2014

Utafiti Mpya: TACAIDS yataja sehemu zenye maambukizi zaidi ya VVU

10:26
Takwimu za tume ya kudhibiti ukimwi Tanzania (TACAIDS) zinaonyesha kuwa kiwango cha maambukizi ya Virusi vya Ukimwi katika barabara za kimat...
Read More

9 Septemba 2014

Breaking News:Safaru Mpya ya Shilingi Mia Tano Yatolewa na BOT

08:28
SARAFU MPYA YATOLEWA: BoT leo imetoa sarafu mpya ya Sh500 itakayoanza kutumika rasmi Oktoba 2014, noti za Sh500 zitatumika hadi mzunguko wak...
Read More

14 Agosti 2014

Tazama picha za Lori la Mafuta lilioanguka leo ,Kimara wanachi wakimbilia mafuta ovyo

15:54
GARI lenye namba T748 ABJ lililokuwa limebeba mafuta ya diseli kutoka Dar es Salaam kwenda Singida, limeanguka leo asubuhi na kusababisha fo...
Read More

14 Aprili 2014

Sad News: Mzee Gurumo Afariki Dunia

04:59
Mwanamuziki mkongwe na Gwiji la muziki wa dansi Tanzania Maalim Muhidin Gurumo amefariki dunia leo April 13, 2014 katika hospitali ya Taifa ...
Read More

1 Januari 2014

WAZIRI WA FEDHA WA TANZANIA MH WILLIAM MGIMWA AFARIKI DUNIA

19:39
Habari zilizo tufikia hivi punde nikwamba waziri wa fedha mh William Mgimwa amefariki mchana wa leo nchini Afrika kusini alikokuwa amekwend...
Read More

28 Desemba 2013

Hot News: Jackie Cliff Amuachia Maagizo Ya Wosia Martin Kadinda …

14:52
Baada ya kukamatwa na kilo 1.1 za heroin nchini China, mrembo Jackie Cliff kwa sasa anasubiria hatima yake kutokana na kosa hilo la kusafiri...
Read More

18 Novemba 2013

UPDATE: HALI YA NELSON MANDELA YADAIWA SIO NZURI, SASA AWEZI KUZUNGUMZA

12:37
Imeripotiwa kuwa hali ya Rais wa zamani wa Afrika Kusini Nelson Mandela bado sio nzuri kwani hivi sasa hawezi kuzungumza. Kwa mujibu wa BBC,...
Read More

14 Oktoba 2013

Poppin Updates: Aliyemuua mama yake Ufoo Saro alipanga kuua familia nzima, mdogo asema haya...

14:25
Kwa mujibu na maelezo ya  mdogo wake na mwandishi wa habari wa kituo cha runinga cha ITV, Ufoo Saro aitwaye Goodluck aliyekuwepo wakati wa t...
Read More

13 Oktoba 2013

5 Oktoba 2013

BREAKING NEWZ AJALI MBAYA MLIMA KITONGA

11:50
Polisi walikuwepo ili kulinda usalama kwenye eneo la tukio Mmoja wa majeruhi akipandishwa kwenye gari  Ajali mbaya nyingine imetokea jana us...
Read More

29 Septemba 2013

MAGAZETI YA MWANANCHI NA MTANZANIA YAFUNGIWA

07:49
GAZETI LA MWANANCHI GAZETI LA MTANZANIA Serikali imeyafungia kutochapishwa Magazeti ya MWANANCHI na MTANZANIA kuanzia 27 Septemba, 2013 kuto...
Read More