NEWS

Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Politics. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Politics. Onyesha machapisho yote

30 Mei 2014

Breaking News:Wabunge wa Upinzani Watoka Bungeni Baada ya CCM Kuilinda Wizara ya Nishati na Madini

17:11
Jioni hii katika bunge la Bajeti Mweshimiwa Mbowe ameongoza kambi ya Upinzani kutoka Bungeni kwa kila anachodai wabunge wa CCM wanajaribu ku...
Read More

18 Aprili 2014

Hawa ndio Mabalozi wapya walioteuliwa na Rais Kikwete

08:31
Dar es Salaam.  Rais Jakaya Kikwete ameteua mabalozi wapya watatu kujaza nafasi zilizoachwa wazi na mabalozi waliostaafu kwa mujibu wa sheri...
Read More

16 Aprili 2014

Hati ya makubaliano ya muungano yafikishwa bungeni

19:00
Makamu mwenyekiti wa bunge maalum la katiba, Samia Suluhu Hassan amesema amepokea hati ya makubaliano ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar ...
Read More

9 Aprili 2014

Izzo Bizness aeleza kwa nini hakwenda kumpigia kampeni Ridhiwani

09:22
Jumapili iliyopita (April 6), Ridhiwani Kikwete alitangazwa na tume ya Taifa ya Uchaguzi kuwa mshindi wa kiti cha ubungo wa jimbo la Chalinz...
Read More

3 Aprili 2014

Rais Jakaya Kikwete atembelea Aberdeen, Scotland

08:33
R ais Jakaya Kikwete akijaribu kuendesha mfano wa mtambo wa kufundishia namna ya kuchimba mafuta katika visima vilivyo bahari kuu alipotembe...
Read More

19 Machi 2014

Jaji Warioba awasilisha rasimu ya katiba, adai muundo wa serikali mbili hauwezi kubaki

06:35
Mwenyekiti wa Tume ya mabadiliko ya Katiba Jaji Joseph Sinde Warioba amewasilisha rasimu ya katiba katika bunge maalum la katiba. Jaji Wari...
Read More

18 Machi 2014

Ccm yashinda Ubunge katika Jimbo la Kalenga mkoani Iringa,

06:36
Chama cha Mapinduzi, CCM kimepata ushindi mkubwa katika uchaguzi mdogo wa Jimbo la Kalenga mkoani Iringa, nyanda za juu kusini mwa Tanzania....
Read More

9 Februari 2014

Waziri wa uhamiaji wa Uingereza ajiuzulu

07:32
Waziri wa Uhamiaji wa Uingereza, Mark Harper , amejiuzulu baada ya kujulikana kuwa amemuajiri mtu asiyekuwa na kibali cha kubaki nchini. Ali...
Read More

30 Januari 2014

Waziri mkuu wa Ukraine ajiuzulu

10:10
Rais wa Ukraine, Viktor Yanu-kovich, amekubali ombi la kujiuzulu kwa waziri mkuu wa taifa hilo, Mykola Azrov, pamoja na baraza zima la mawaz...
Read More

29 Januari 2014

Picha: Hivi ndivyo Chadema walivyoiteka Iringa

04:36
Helkopta ya Chadema Ikiwasili Iringa Wakazi wa mkoa wa Iringa wakimpokea mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo mweshimiwa Slaa
Read More

8 Januari 2014

Zitto Kabwe Aishinda Nguvu kamati Kuu ya Chadema, Ashinda Rufaa yake

03:45
Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe ameibuka na ushindi baada ya mahakama kuu, jijini Dar es salam Jumanne hii kuamua kuwa mbunge huyo a...
Read More

30 Desemba 2013

WABUNGE 15 MATATANI NI BAADA YA KUCHUKUA POSHO ZA SAFARI BILA KUSAFIRI UKU WENGINE...

15:21
Ofisi ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limewaanika wabunge 15, waliobainika kuchukua posho za safari bila kusafiri huku wengine w...
Read More

2 Desemba 2013

MANGE KIMAMBI "DO YOU THINK ZITTO NA WENZIE WATAUNDA CHAMA CHAO AU WATAKUJA CCM?"

04:06
" So what do you think? Zitto na wenzie wataunda chama chao au wataingia kile chama kizuuuuuuuuuuuuuuriiiiiiiiiiii kinachoitwa CCM? Im ...
Read More

30 Novemba 2013

ZITTO KABWE : “NILISHIKWA BUTWAA, WAKATI HUO WATU WENGI WALIMDHARAU MBUNGE HUYU….”

06:09
Hivi ndivyo mbunge kutoka Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe alivyoelezea uhusiano wake wa kazi na Marehemu Amina Chifupa. “Kazi ya kwanza nilifan...
Read More

28 Novemba 2013

ZITTO KABWE AULIZWA NA CHADEMA KWA NINI ASIVULIWE UANACHAMA

01:54
Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA kimewaandikia barua za kuwavua rasmi nyadhifa za uongozi aliyekuwa naibu katibu mkuu Zitto Kabwe ...
Read More

25 Novemba 2013

MTEI "TUTAENDELEA KUWAFUKUZA WALE WOTE AMBAO NI WASALITI CHADEMA"

07:08
Mwasisi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edwin Mtei amesema kuwa chama hicho kitaendelea kuwafukuza wote wanaokihujumu huku a...
Read More

TAARIFA YA ZITTO KWA WAANDISHI WA HABARI KUHUSU KUPOKONYWA UONGOZI CHADEMA

07:06
1. Utangulizi  Katika kikao chake cha siku mbili kilichofanyika tarehe 20 - 22 Novemba 2013, Kamati Kuu ya CHADEMA, pamoja na mambo mengine,...
Read More

23 Novemba 2013

TUNDU LISSU "ZITTO NA WENZAKE WATATU WAMEBAINIKA KUKIHUJUMU CHAMA"

06:16
Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema kimemvua nyadhifa zote Naibu Katibu mkuu wake Zitto Kabwe ambae ni mbunge wa Kigoma Kaskazini. Mwa...
Read More

20 Novemba 2013

KINANA ATEMBELEA WILAYA YA SONGEA VIJIJINI

07:45
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipokelewa na Mbunge wa Jimbo la Peramiho Ndugu Jestina Mhagama mara baada ya kuwasili katika e...
Read More